TOTOTA COROLLA-SPRINTER
YEAR : 1996
KILOMETERS :83,000
CONDITION:EXCELLENT
INA RADIO YA DVD + TV SCREEN NA RIM SPORTS.
BEI NI MILIONI 6
MAZUNGUMZO YAPO.
MAWASILIANO: MAC TEMBA 0715 000 890 or mactemba@hotmail.com


.jpg)






Ebwana eeh ka wale vijana wa enzi zetu enzi za Wenge musica,enzi za Tazara ,enzi za Silent inn club mwenge na wengineo wengi leo ni leo maana Dj Rankim ramadhana atawasha moto mkali sana kwa kukumbusha watu enzi zile za kundi hili ambalo liliweza kuweka historia kubwa africa kama The jackson 5...tukutane pale leo jioni kama kawa tupate burudani za ukweli.....wadau
He goes by the name Cowboi aka Ngwea a simple man but balaa,amekuja na ujio mpya wa Bongo Recordz chini ya kichwa mahiri cha Hip hop hapa bongo nowadays Producer Q...ebwana huo wimbo umesimama sana maana Ngwea amebadilika sana kwa ku rap na kuimba...
Ndugu wadau wa blog hii pendwa naomba kwa idhini yenu nimu endorse kijana Abba Sedou huyu ili apigiwe kura na wapenzi wote wa blog hii kama the most sexiest man in dar...please vote for him in www.diva255.blogspot.com .
Mdau akitoa shukrani kwa watoto wa chakuwama....
Wadau wa Vodacom wakiwa wamepozi jana kituoni Chakuwama....
Mmoja kati ya watoto wa Chakuwama akipozi kwa picha jana mchana.
Pichani ni mdau wa blog hii pamoja na mtoto mrembo wa pale Chakuwama jana...it was full of fun.
Watoto wakifurahia mambo ya vodacom jana pale kituoni....
Mikonoz wadau.... nikiwa na marafiki zangu watoto wa chakuwama jana mchana.
Mdau Melinda wa Vodacom akiwa kituoni Chakuwama jana kusherekea siku ya mtoto wa Africa na yatima wa pale kituoni.
Wafanyakazi wa Vodacom kitengo cha Corporate solutions wakiwa pamoja na baadhi ya watoto wa Chakuwama jana katika kusherekea siku ya mtoto wa Africa.
Mdau wa blog hii akiwa na Mohd karambo na dada Somoe wakipata chakula jamvini jana...kitu cha pilau na soda kangaaaaaa!!!!
Mdau kutoka Vodacom Mohd Karambo akijiandaa kuondoka baada ya kula chakula na watoto wa chakuwama pale Sinza jana
Watoto wakila chakula kilichoandaliwa na wafanyakazi wa Vodacom kitengo cha Corporate Solutions
Wadau wa Vodacom wakipakua chakula jana mchana,pichani Mohd karambo na mdau Simon martin
watoto wazuri wa chakuwama sinza
mdau wa blog hii akiwa na watoto wa Chakuwama jana hii ilikuwa ni kusherekea siku ya mtoto wa Africa.
watoto wazuri wa Chakuwama jana mchana kwenye maazimisho ya siku ya mtoto wa Africa.